“Ni kifanyike sasa? Maana inavyoonekama kama taifa tumeshindwa kabisa kuwalinda albino. Tuchukue hatua kwa kuwasaidia kwa kuwapeleka ofisi husika za kimataifa na kuwaombea ukimbizi?” – 

http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/806328-je-albino-waombe-hifadhi-ya-ukimbizi-nje-ya-nchi.html