TukioMbongi/Baraza/Mdahalo wa Pili wa Makamu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam (UDSM)
MadaZahama za Chakula na Mafuta

Mchokoza Mada
Jenerali Ulimwengu –
Raia Mwema

Wachochea Mada
Prof. Haji Semboja – Taasisi ya Utafiti wa Uchumi, UDSM

Prof. Aida Isinika –Oxfam/Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)
Bi. Siham Ahmed –Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA)
Dk. Khoti Kamanga –Kitivo cha Sheria, UDSMDk. Adolf Mkenda –Idara ya Uchumi, UDSMDk. Ng’wanza Kamata –Idara ya Sayansi ya Siasa, UDSMWashiriki
Wananchi na Wageni Wanakaribishwa

MahaliUkumbi wa Nkrumah – UDSMTarehe
Ijumaa, 10 Oktoba 2008

Muda
Saa 10 Alasiri – Saa 12 Jioni

MwandaajiProfesa wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere cha Utafiti wa Kiumajumui wa Afrika