Hiki ni kipande cha video kinachomuonesha muuguzi mwandamizi akielezea jinsi wanavyohudumia wagonjwa wenye #corona jijini New York, Marekani.

Kipande hichi ni sehemu ya video hii https://www.youtube.com/watch?v=ZLmgrUH7-D4&t=17s ya mjadala uliofanyika tarehe 4 Aprili 2020 kuhusu ugonjwa wa #COVID-19 usababishwao na virusi vya #corona na kuhusisha jopo hili hapa la madaktari na manesi wa Kitanzania walio mstari wa mbele kupambana na gonjwa hilo:

Dokta Ndema Habib, MSc (Biostatistics), PhD – Geneva, Switzerland

Dokta Mohamed Salim, MD, MSc, MSc (Public Health, Substance Abuse) – London, UK

Dokta Karima Khalid, MD, MMed (Anaesthesia and Critical Care) – MOI/MUHAS, Dar es Salaam, Tanzania

Dokta Harrieth Gabone-Mwalupindi, PhD, MSN, RNC (Obstetrics) – Florida, USA

Kissah Mwakalinga, BSN (Nursing Science), MSN (Nursing Informatics), CCRN (Critical Care) – New York, USA]

Mratibu: Dokta Frank Minja, Connecticut, USA

#CoronaTanzania #COVID19Tanzania #CoronaVirus #KirusiChaCorona