*Changamoto za Mahusiano katika Familia na Jamii: Janga la COVID-19*

Habari TZ Diaspora na Nyumbani:

Karibuni Jumamosi hii Mei 9, 2020 

Kujiunga sajili hapa: https://bit.ly/2Ac3JGJ

Saa 11 jioni Afrika Mashariki

10am EST/ 9am CST/ 7am PST/ 3pm UK 

DICOTA na TUHEDA, tutaendelea na majadiliano yetu kuhusu janga la Covid-19: 

Dr. Donald Mlewa (CPsychol) – Wales, UK 

Mr. Isaac Lema (Clinical Pyschologist) – Dar es Salaam, Tanzania

Dr. Lusajo Kajula, PhD (Psychology) – Dar es Salaam, Tanzania

#DhibitiMlipuko Campaign Updates – Zawadi Sakapalla-Ukondwa, MBA

Moderator: Dr. Frank Minja – Connecticut, USA

==

Karibuni sana

🙏🙏