Assistant Professor and founder of @Udadisi/Profesa Msaidizi na Muasisi wa @Udadisi - https://udadisi.com/chambi-chachage/
Akaunti ya Twita/Twitter Handle: @ChambiChachage
2 Comments
kweka
September 11, 2011 at 12:45 pm
Kinadharia(theoretically),hii nchi ilishameguka zamani.Sasa tunaona hali halisi ya mmeguko huo.Sababu ziko nyingi na moja kubwa ni uongozi duni.wakati wa mwalimu mmeguko ulikuwepo ila uongozi dhabiti ulizuia kujionyesha na kukua kwa mmeguko huo.Hofu yangu ni amani ya nchi hii.Watanzania hatujazoea vurugu-tutaenda wapi?
Anonymous
September 24, 2011 at 6:57 pm
Kutumia bango kama hili kama ningekuwa ndiye mgombea ningewaambia liondolewa kwa sababu lina lengo la ukabila na kubagua watu wa kutoka eneo moja la nchi hii imenisikitisha sana na Mungu atusaidie tuimarishe utaifa wetu
Kinadharia(theoretically),hii nchi ilishameguka zamani.Sasa tunaona hali halisi ya mmeguko huo.Sababu ziko nyingi na moja kubwa ni uongozi duni.wakati wa mwalimu mmeguko ulikuwepo ila uongozi dhabiti ulizuia kujionyesha na kukua kwa mmeguko huo.Hofu yangu ni amani ya nchi hii.Watanzania hatujazoea vurugu-tutaenda wapi?
Kutumia bango kama hili kama ningekuwa ndiye mgombea ningewaambia liondolewa kwa sababu lina lengo la ukabila na kubagua watu wa kutoka eneo moja la nchi hii imenisikitisha sana na Mungu atusaidie tuimarishe utaifa wetu