Poems2021-05-29T19:00:14+03:00

My Death

By Chambi Chachage (@Udadisi)

I’ve often thought of death
My death
Of how swift it would be
Yet how gruesome

(more…)

I am Woman

By Faith Andrew 

I chose not to cower,
With my head held high,
I chose to empower,
I’m planning to devour,
All that I encounter,
I am not a damsel in distress,
Waiting to be a princess,
I am a being with purpose,
Not the cause of perplex,
I am woman.

(more…)

Ugeni

Na Jasper “Kido” (@KidoJapa)

Salaam wandugu
Wadogo nanyi wakuu,
Ishikeni hii salamu
Pamoja na ujumbe huu,
Imenifika kalamu
Nasaha hizi nipate nukuu,
Yapo mengi muhimu
Ya kuandika nyingi juzuu,

(more…)

Kituo Kinachofuata

Na Jasper “Kido” (@KidoJapa)

Nani asiyependa mawingu kuyakata?Nani mabawa akipataangani hatoruka?Ni wivu bila shaka na kijiba cha ukata,Mawaa yamewajaaWasokheri washupaa,Nao ‘tasema kutwawakichoka wataacha,

(more…)

Binti Salaam

Na Neema Komba (@Neysk)

Wanahoji alikuwa nani.
Ni mtu maarufu hapa mjini, au mtoto wa nani?
Maisha yake yalikuwa vipi,
Ni mrembo, mcheshi, au mambo safi?
Alivaa nini?
Alikunywa nini?
Alikuwa wapi?
Alifanya nini hadi wamfanyie ukatili?

(more…)

Go to Top